Error loading page.
Try refreshing the page. If that doesn't work, there may be a network issue, and you can use our self test page to see what's preventing the page from loading.
Learn more about possible network issues or contact support for more help.

Sunjata wa Himaya ya Mandé

ebook
1 of 1 copy available
1 of 1 copy available

Ilikuwa imetabiriwa kuwa Sunjata angekuwa mfalme. Hata hivyo, wengi walitilia shaka ujuzi wa kutimiza unabii huo.

Hadithi hii ni muundo wa shairi la aina yake ambalo limesimuliwa na washairi wa jali tangu karne ya 13. Inasimulia kuhusu mvulana mdogo aliyeshinda hali ya kutojiamini na kuwa muanzilishi wa dola ya Mandé, mojawapo ya himaya zenye utajiri zaidi kwenye historia ya Kiafrika na Mali.

Hadithi ya Sunjata ni ya kuhusu uvumilivu, uthabiti, na kujitolea kwa ajili ya haki za watu.


Formats

  • OverDrive Read
  • EPUB ebook

Languages

  • Swahili

Loading